Rais Putin aahidi kusaidia ujenzi mpya wa Syria
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-29 22:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa mpito wa Syria Ahmad al Sharaa amefanya ziara ya pili ndani ya kipindi cha miezi minne nchini Urusi ambako jana alifanya mazungumzo na rais Vladmir Putin mjini Moscow, yaliyolenga kwa sehemu, kuangalia suala la mustakabali wa kambi za kijeshi za Urusi nchini Syria.Maandamano ya kuwaunga mkono Wakurdi yawavutia maelfu Ujerumani
--------------------------------------------------------------------