Maafisa 15 wa Iran wawekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-30 06:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mashirika sita ya Iran zikiwemo bodi zinazohusika na uangalizi wa maudhui ya mtandaoni, pia zilijumuishwa katika orodha ya waliowekewa vikwazo. Makamanda wa juu wa kikosi maalum cha walinzi mapinduzi Iran, IRGC ni miongoni pia mwa waliowekewa vikwazo na Umoja huo.
--------------------------------------------------------------------