Muhoozi aishtumu Marekani kumficha Bobi Wine, aomba radhi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-30 19:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkuu wa Jeshi la Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amejikuta katikati ya mjadala mkali baada ya kuomba radhi hadharani kwa Marekani kufuatia ujumbe aliouchapisha na baadaye kuufuta kwenye mtandao wa X.
--------------------------------------------------------------------