Iran itazungumza na Marekani kama haki, usawa vitazingatiwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 02:06 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Araqchi Hata hivyo ameonya kuwa nchi yake haitafanya majadiliano yatakayohusisha uwezo wa Iran kujilinda. Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Iran ametoa kauli hiyo katika mkutano na waandishi wa habari mjini Istanbul ambako yuko ziarani akiwa sambamba na mwenzake wa Uturuki Hakan Fidan.
--------------------------------------------------------------------