Je, EU inaweza kumkabili Musk kwa AI yake ya "kuvua nguo"?
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 02:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, Technology & AI
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
"Nilivuliwa nguo bila hiari yangu na Grok ya Elon Musk kwenye X,” Naibu Waziri Mkuu wa Sweden, Ebba Busch, alisema katika video ya hivi karibuni kwenye jukwaa hilo. Yeye ni mmoja wa waathiriwa wengi wa kipengele cha roboti ya Akili Mnemba ya X, Grok, kinachowaruhusu watumiaji kuwaondolea wanawake na watoto mavazi yao kidijitali.
--------------------------------------------------------------------