Marekani “haitovumilia” vitendo vya Iran eneo la Hormuz

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 20:25 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jeshi la Marekani limesema kuwa halitavumilia mienendo "isiyo salama” kama vile ndege kuruka juu ya meli za kivita za Marekani, au boti ndogo za kasi za Iran kukaribia meli za Marekani katika mazoezi hayo ambayo yamepangwa kufanyika kesho.Taarifa yake iliendelea kuonya kuwa Jeshi la Marekani lina kikosi chenye mafunzo ya hali ya juu na uwezo mkubwa zaidi duniani, na litaendelea kufanya kazi kwa viwango vya juu zaidi vya taaluma na kufuata kanuni za kimataifa na kuongeza kuwa IRGC ya Iran
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]