Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani: Marekani inaihitaji Ulaya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 20:30 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri huyo ameviambia vyombo vya habari vya shirika la RND kwamba itakuwa kosa kama watakuwa wanaiangalia Ikulu ya White House kama sungura anavyomtazama nyoka. Na kuonya kwamba kufanya hivyo watakuwa wanapoteza mwelekeo wa kile wanachopaswa kufanya, kuwa na mamlaka zaidi na kujitegemea.Ameongeza kwa kusema Rais wa Marekani, Donald Trump, anategemea hali ya kutokuwa na uhakika na hofu ili kufanikisha malengo yake.
--------------------------------------------------------------------