Wamarekani waandamana kumpinga Trump na sera ya uhamiaji

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 20:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baadhi ya shule huko Arizona, Colorado na majimbo mengine zilifuta masomo mapema kwa kutarajia wanafunzi wengi kutohudhuria. Maandamano mengine mengi yalipangwa kwa ajili ya wanafunzi na watu wengine kukusanyika katika vituo vya miji, majengo ya serikali za majimbo na makanisa kote nchini humo.Maandamano hayo, yalifanyika huku kukiwa na hasira kubwa kufuatia mauaji ya Alex Pretti, muuguzi wa wagonjwa mahututi ambaye alipigwa risasi mara kadhaa baada ya kutumia simu yake kurekodi maafisa wa Ulinzi wa Mpaka wakifanya operesheni ya kuwakamata wahamiaji
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]