Watu wasiopungua 200 wameripotiwa kufa mgodini DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 20:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Media
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Lumumba Kambere Muyisa, msemaji wa gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini aliye chini ya waasi wa M23, aliiambia Shirika la Habari la Associated Press kwamba ajali hiyo ilitokea Jumatano katika migodi ya Rubaya,mtaani Masisi, ambao unadhibitiwa na kundi la waasi wa M23. Alisema maporomoko hayo yalisababishwa na mvua kubwa.Aliongeza kuwa wengine kadhaa walijeruhiwa na kupelekwa katika vituo vitatu vya afya katika mji wa Rubaya, huku magari ya wagonjwa yakitarajiwa kuwahamisha majeruhi Jumamosi hii kwenda Goma, jiji la karibu takribani kilomita
--------------------------------------------------------------------