Umoja wa Ulaya: Syria si salama kwa kuwarudisha wahamiaji

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 21:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kamishna mwenye dhamana na suala la uhamiaji katika Umoja wa Ulaya Magnus Brunner ameliambia shirika la habari la Ujerumani DPA kwamba hali nchini Syria haijaimarika vya kutosha kuruhusu nchi za Umoja wa Ulaya kuanza kuwarudisha kwa wingi Wasyria waliotafuta hifadhi katika mataifa yao. Amesema kwa sasa wanashughulikia kutoa usaidizi kwa lengo la kuboresha hali na kubadilisha hilo pamoja na kwamba wamepewa taarifa na wakala wa waomba hifadhi wa umoja huo kwamba hali nchini Syria inaimarika.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]