Vifo vya maporomoko ya ardhi vyaongezeka hadi 49 Indonesia

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-01-31 21:25 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika kuu la uokoaji la nchi hiyo, Basarnas, limesema leo Jumamosi, huku watu 15 bado hawajulikani walipo.Kikosi cha wanamaji cha taifa hilo kadhalika kilisema wanajeshi wake 23 walikufa, wakati wakifanya mafunzo ya ulinzi wa mpaka.Maporomoko ya ardhi ya Januari 24 yaliyolikumba kijiji cha Pasir Langu katika eneo la Bandung Barat yalisababishwa na mvua kubwa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]