Watu kadhaa wapoteza maisha katika ajali ya mgodi Kongo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-01 01:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Media
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ajali hiyo ilitokea Jumatano katika migodi ya Rubaya, ambayo inadhibitiwa na waasi wa M23, alisema Lumumba Kambere Muyisa, msemaji wa gavana wa Kivu Kaskazini aliyeteuliwa na waasi, alipozungumza na shirika la habari la Associated Press. Alisema maporomoko ya ardhi yalisababishwa na mvua kubwa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]