Mashambulizi ya Israel yauwa Wapalestina 30, wakiwemo watoto
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-01 02:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa maafisa wa hospitali zilizopokea miili ya marehemu siku moja baada ya Israel kuishutumu Hamas kwa kukiuka masharti mapya ya usitishaji mapigano, mashambulizi yalilenga maeneo mbalimbali ya Gaza, ikiwemo mashambulizi kwenye jengo la ghorofa mjini Gaza na kambi ya mahema huko Khan Younis. Na kwa mujibu wa mkurugenzi wa Hospitali ya Shifa, Mohamed Abu Selmiya miongoni mwa waliouawa ni wanawake wawili na watoto sita kutoka familia mbili tofauti.Shambulio la angani pia lililenga kituo cha polisi mjini Gaza, na
--------------------------------------------------------------------