Jeshi la Nigeria ladai kumuua kamanda mkuu wa Boko Haram
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-02 02:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi, Sani Uba, Kamanda aliyeuawa Abu Khalid, alikuwa mmoja wa viongozi muhimu wa kundi hilo katika msitu wa Sambisa, akiratibu mashambulizi na usambazaji zana za kivita.
--------------------------------------------------------------------