Kivuko cha mpaka wa Rafah chafunguliwa tena
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-02 21:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Vyombo vya habari vinavyoendeshwa na serikali nchini Misri pamoja na maafisa wa usalama wa Israel, wamethibitisha kufunguliwa tena kwa kivuko hicho cha Rafah ambapo watu wachache tu wataruhusiwa kusafiri kutoka pande zote mbili na hakuna bidhaa zitakazoruhusiwa kuingia.
--------------------------------------------------------------------