Iran: Mpango wa mazungumzo na Marekani utakamilika karibuni

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-02 21:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmeil Baqaei amesema Jumatatu kwamba mataifa kadhaa ya kikanda yamechukua jukumu laupatanishi katika suala zima la mawasiliano. Hata hivyo hakutoa maelezo zaidi kuhusiana na maudhui hasa ya mazungumzo hayo. Amesema tayari baadhi ya vipengele vimeshafanyiwa kazi na wanachokifanya sasa ni kuhitimisha maelezo ya kila hatua ya mchakato huo wa kidiplomasia, ambao wataukamilisha siku sijazo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]