Rais wa Iran Pezeshkian aagiza kuanza mazungumzo na Marekani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-03 02:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na shirika la habari la Iran la Fars lililonukuu chanzo ambacho hakikutaka kutambulishwa, Rais Masoud Pezeshkian ameagiza kuanza kwa mazungumzo hayo na Marekani, ingawa hakikutaja tarehe hasa ya mazungumzo hayo.
--------------------------------------------------------------------