Witkoff kukutana na Netanyahu kuelekea mazungumzo na Iran
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-03 14:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Witkoff, ambaye alihusika pakubwa kwenye kile kiitwacho "Mpango wa Amani wa Trump kwa Gaza" alitazamiwa kuwasili mjini Tel Aviv siku ya Jumanne (Februari 3), wakati kivuuko cha Rafah kwenye mpaka wa Misri na Ukanda wa Gaza kikifunguliwa jioni ya Jumatatu, hatua muhimu kwenye mpango huo ambayo ilishaakhirishwa mara kadhaa na utawala wa Israel.
--------------------------------------------------------------------