Urusi yaishambulia tena miji ya Ukraine usiku wa leo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-03 21:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa Shirika la habari la Ukraine Ukrinform, milipuko kadhaa imesikika katika mji mkuu wa Kiev usiku wa kuamkia leo huku taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zikisema kwamba mitambo miwili ya kuzalisha umeme wa joto ilishambuliwa. Baadae pia kulikuwa na ripoti za kushambuliwa makazi ya raia katika mji mkuu wa Kiev na kuwajeruhi watu wawili.
--------------------------------------------------------------------