Wakaazi katika vijiji vya Ukingo wa Magharibi wafurushwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-03 21:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jamila Rashid na familia yake wameishi kwenye kijiji cha Ras Ein el-Auja cha wapalestina wa jamii ya waBedoui kusini mwa bonde la Jordan. Hata hivyo alilazimika kuondoka mwanzoni mwa Januari hii. Ameelezea kuwa walowezi wa Kiyahudi wamewahangaisha sana,kwenye maeneo yao katikati mwa Ukingo wa Magharibi.
--------------------------------------------------------------------