Rais wa Iran aagiza mazungumzo ya haki na usawa na Marekani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-03 22:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Pezeshkian amesema kupitia mtandao wa X kwamba amemuagiza Araghchi kufanya mazungumzo hayo kwa kuongozwa na misingi ya utu, busara, na uthabiti, lakini kwa kuzingatia mazingira yanayofaa, yasiyokuwa na vitisho na matarajio yasiyo na msingi.
--------------------------------------------------------------------