Kremlin yaonya hatari iliyopo mkataba wa START unapomalizika
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 02:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dmity Peskov amesema pendekezo la Rais Vladmir Putin bado liko mezani, lakini Marekani bado haijajibu, na ameonya kuwa katika siku chache zijazo, dunia itakuwa katika hali ya hatari zaidi kuliko ilivyokuwa.
--------------------------------------------------------------------