Brazil yapima uwezekano wa kumvua Bolsonaro hadhi ya kijeshi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 14:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Latin America
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Mahakama Kuu ya Kijeshi, Maria Elizabeth Rocha, amesema mahakama hiyo itajadili ombi lililowasilishwa na waendesha mashitaka kumtangaza Bolsonaro na makamanda wengine wa ngazi za juu kutokuwa na haki ya kubakia na vyeo vyao na mafao kutoka jeshini.
--------------------------------------------------------------------