Marekani, Iran zaelekea kwenye mazungumzo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 14:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Siku ya Jumanne (Februari 3), msemaji wa Ikulu ya Marekani, Karoline Leavitt, alithibitisha kwamba mjumbe maalum wa Trump, Steve Witkoff, amekuwa akipanga kukutana na maafisa wa Iran baadaye wiki hii, hiyo ikiwa ni mara ya mwanzo kwa White House kutambuwa uwepo wa mazungumzo hayo.
--------------------------------------------------------------------