Wahamiaji 15 wafa kisiwani Ugiriki kufuatia ajali ya majini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 21:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Watu wasiopungua 15 wamefariki baada ya boti ya doria ya walinzi wa pwani ya Ugiriki kugongana na boti iliyowabeba wahamiaji nje ya pwani ya kisiwa cha Chios Jumanne usiku.
--------------------------------------------------------------------