Kansela Merz kuanza ziara ya kwanza kanda ya Ghuba

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 21:50 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, leo anaanza ziara yake ya kwanza katika eneo muhimu lenye utajiri na la kimkakati la Ghuba. Kituo cha kwanza kitakuwa Saudi Arabia na kisha kufuatiwa na Qatar na Umoja wa Falme za Kiarabu. Merz analenga kuimarisha ushirikiano na mataifa yanayosafirisha mafuta na gesi, huku ushirikiano huo ukitarajiwa kujikita haswa katika sekta ya nishati.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]