Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua watu 9 huko Gaza

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-04 21:59 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limesema mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu tisa katika eneo la Wapalestina, ikiwemo watoto watatu huku jeshi la Israel likisema kwamba lilishambulia baada ya mashambulizi ya risasi yaliyowalenga wanajeshi wake na kumjeruhi afisa mmoja.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]