WFP kusitisha shughuli Juba baada ya msafara wake kuvamiwa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 02:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limesitisha shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Sudan Kusini baada ya msafara wake uliokuwa umebeba tani 1,500 za misaada ya kiutu kushambuliwa na kuporwa. Kulingana na WFP, msafara huo wa misaada muhimu ya chakula iliyokuwa ikisafirishwa kwa njia ya mto ilishambuliwa wiki iliyopita katika jimbo la Upper Nile, ambalo pia limeshuhudia ghasia kubwa mwaka uliopita.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]