Watu 21 wauawa Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya Israel
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 02:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Watu wasiopungua 21 wanaripotiwa kuuawa na zaidi ya wengine 30 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya Israel huko Gaza siku ya Jumatano baada ya mapigano kuanza upya katika eneo hilo la pwani. Mamlaka ya afya inayoongozwa na Hamas imesema matukio hayo yalishuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza tangu alfajiri, jambo linaloonyesha kuyumba kwa makubaliano ya usitishaji mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo la Hamas.
--------------------------------------------------------------------