ACT-Wazalendo waipinga ZEC kuchoma nyaraka za uchaguzi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 03:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya chama cha ACT-Wazalendo zilizoko Vuga, mjini Unguja, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Ismail Jussa amesema kwamba hatua ya kuazimia kuteketeza nyaraka za uchaguzi mkuu wa 2025 ina maana kwamba tume ya ZEC inakusudia kuharibu maendeleo ya kesi 25 zilizofunguliwa na wagombea waliopitishwa na chama hicho kuwania viti vya uwakilishi.
--------------------------------------------------------------------