Nani anawajibika wakati wa majanga kama ya Rubaya?
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 03:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Miongoni mwa waathirika wa mgodi wa Rubaya, wapo wachimbaji wa Kongo, lakini pia watoto, wanawake wafanyabiashara, pamoja na raia wengine waliokuwapo eneo hilo wakati wa tukio.
--------------------------------------------------------------------