Erdogan amtembelea Al-Sisi kusaini mikataba ya ushirikiano

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 13:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi alisema katika mkutano wa pamoja na waandishi wa habari, baada ya mawaziri kutoka pande zote mbili kusaini mikataba 18 inayohusisha ulinzi, utalii, afya na kilimo, kwamba biashara ya pande mbili imefikia karibu dola bilioni 9, na kuifanya Misri kuwa mshirika mkuu wa kibiashara wa Uturuki katika bara la Afrika.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]