M23 yadai iiliushambulia uwanja wa ndege wa Kisangani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 14:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la waasi wa M23 limedai kuhusika na shambulizi la ndege zisizo na rubani lililolenga uwanja wa ndege muhimu katika jiji la Kisangani kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kilomita mia kadhaa kutoka eneo la kawaida la operesheni za kundi hilo lenye silaha.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]