Iran na Marekani kufanya mazungumzo Ijumaa Oman
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 14:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa mambo ya nje wa Iran Abbas Araghchi amesema mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yatafanyika Ijumaa nchini Oman, huku mvutano kati ya nchi hizo ukiendelea kuwa mkubwa kufuatia msako mkali wa Tehran dhidi ya maandamano ya kitaifa mwezi uliopita.
--------------------------------------------------------------------