Hofu yatanda baada ya M23 kuulenga uwanja wa ndege Kisangani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 22:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la waasi la AFC/M23 lilidai kuhusika na shambulio la droni Jumapili iliyopita katika Uwanja wa Ndege wa Bangoka huko Kisangani. Kulingana na mamlaka katika jimbo la Tshopo, droni nane pia zilikamatwa. Hata hivyo, hakuna majeruhi walioripotiwa na usafiri wa anga haukusitishwa.
--------------------------------------------------------------------