Je, maandamano ya Iran, yameleta kweli mabadiliko?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-05 22:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwishoni mwaka jana, Iran ilikumbwa na maandamano makali zaidi huku wananchi wakipinga gharama za maisha. Mji mkuu,Tehran, ulifurika mamia kwa maelfu ya waandamanaji wakipaza sauti dhidi ya kushuka kwa thamani ya sarafu yao na kupanda kwa bidhaa muhimu na za msingi katika maisha.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]