Infantino ataka Urusi irejeshwe mashindano ya kimataifa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-06 00:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Gianni Infantino, amesema anaunga mkono Urusi kurejeshwa kwenye mashindano ya kimataifa ya mpira wa miguu na anataka kumaliza adhabu ya miaka minne ambayo nchi hiyo imewekewa tangu ilipoanza kuivamia Ukraine mnamo Februari 2022.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]