Kansela Merz aitaka Iran iwe na nia ya kupata mwafaka Oman
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-06 01:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza wakati wa ziara yake nchini Qatar,kama sehemu ya ziara yake nzima ya eneo la Ghuba ambayo ni ya kwanza tangu aingie madarakani, Merz hakuujibu moja kwa moja ukosoaji wa Abbas Araghchi kuhusu uongozi wa Ujerumani, ila ameitaka jamhuri hiyo ya Kiislamu iwe na nia ya suluhu kupatikana inapoingia katika mazungumzo na Marekani.
--------------------------------------------------------------------