Je, Afrika itanufaika na kupanda kwa bei za dhahabu?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-06 02:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwaka 2025, thamani ya dhahabu iliongezeka kwa asilimia 65, ikivunja rekodi kufikia zaidi ya dola 5,580 za Marekani kwa wakia mmoja, sawa na gramu 31, kabla ya kushuka tena kidogo. Wataalamu wa masoko ya fedha wanasema ongezeko hili linatokana na kuongezeka kwa hali ya sintofahamu katika masoko ya kimataifa, sera zisizotabirika za Marekani, na hatari za kifedha zinazoendelea.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]