Miji zaidi yakabiliwa na baa la njaa mjini Darfur

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-06 21:45 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Food & Agriculture
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya shirika la kimataifa la ufuatiliaji wa njaa, Integrated Food Security Phase Classification, maarufu kama IPC, njaa sasa imeathiri miji miwili zaidi ya Umm Baru na Kernoi katika eneo la Darfur. Hii ni baada ya shirika hilo kuthibitisha mwaka jana kuwa wakazi wa mji mkubwa wa el-Fasher walikuwa tayari wanakabiliwa na njaa kufuatia mzingiro wa miezi 18 na makundi ya wapiganaji.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]