Gnabry arefusha mkataba wake na Bayern hadi 2028
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-07 00:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Winga wa klabu ya Bayern Munich Serge Gnabry ameongeza mkataba wake hadi mwaka 2028. Gnabry mwenye umri wa miaka 30, alijiunga na miamba hao wa Bavaria tangu mwaka 2017 baada ya kupita katika vikosi kadhaa ikiwemo Arsenal, West Brom na Werder Bremen.
--------------------------------------------------------------------