Mkataba wa New START kati ya Marekani na Urusi wamalizika
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-06 01:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkataba huo, uliosainiwa mwaka 2010 kati ya Marekani na Urusi, uliweka ukomo wa idadi ya vichwa vya silaha za nyuklia, makombora na ndege za kimkakati kwa pande zote mbili. Kumalizika kwake kunamaanisha kuwa, kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50, hakuna tena vikwazo vya kisheria vinavyodhibiti silaha za nyuklia za mataifa hayo mawili yenye silaha nyingi zaidi duniani.
--------------------------------------------------------------------