Maelfu wamzika mtoto wa Gaddafi aliyeuawa kwa risasi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-07 03:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maelfu ya watu wamejitokeza Ijumaa kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa mtawala wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, katika mji ambao bado unaendelea kuonyesha utii kwa kiongozi huyo wa zamani.
--------------------------------------------------------------------