Shambulizi la droni Sudan lawauwa watu 24 wakiwemo watoto 8
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-08 01:59 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Haya ni kulingana na kundi moja la madaktari linalofuatilia hali ya vita katika eneo hilo, siku moja baada ya msafara wa shirika la Mpango wa Chakula Duniani kulengwa. Shambulizi hilo la leo limetokea karibu na mji wa Rahad jimboni Kordofan Kaskazini.
--------------------------------------------------------------------