Watu wasiopungua 24 wameuwawa kwa shambulio la droni Sudan

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-08 21:59 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na Shirika la Mtandao wa madaktari wa Sudan, shambulio hilo lilililenga gari lililokuwa limezibeba familia za watu waliolazimika kuyakimbia makazi yao, kutokana na machafuko. Watu wengine kadhaa ambao idadi yao haijatajwa wamejeruhiwa na walipelekwa hospitali mjini Rahad.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]