Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-08 21:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na utafiti uliohusisha kura ya maoni uliofanyika mara kadhaa nchini Japan, Chama cha Takaichi cha Liberal Democratic (LDP) ambacho kimeongoza kwa miaka mingi kinatabiriwa kupata viti visivyopungua 233 katika bunge lenye jumla ya viti 465. Pamoja na kiwango kikubwa cha theluji katika miji mingi ukiwemo mji mkuu Tokyo, raia wamejitokeza kushiriki uchaguzi huo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]