Iran haitoacha kurutubisha Urani kwa sababu ya vitisho
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-08 22:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza mapema Jumapili mjini Tehran, Aragchi ameongeza kuwa Iran imelipa gharama kubwa kutokana na programu yake ya nyuklia na hakuna mwenye haki ya kuiambia inachopaswa kufanya.
--------------------------------------------------------------------