Watu 24 wauawa wakiwemo watoto katika shambulio Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-08 22:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shambulio la Jumamosi lililofanywa na wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) lilitokea karibu na mji wa Rahad katika jimbo la Kordofan Kaskazini, kwa mujibu wa Shirika la Mtandao wa Madaktari wa Sudan, mtandao unaofuatilia vita vinavyoendelea nchini humo. Gari hilo lilikuwa likisafirisha watu waliokimbia makazi yao baada ya mapigano katika eneo la Dubeiker.
--------------------------------------------------------------------