Ethiopia yataka Eritrea iondoe vikosi kwenye eneo lake
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-09 02:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa mambo ya nje wa Ethiopia Gedion Timothewos kupitia barua yake ya jana Jumamosi amemuambia mwenzake wa Erithrea kuwa, matukio ya siku kadhaa zilizopita yanaashiria kuwa serikali ya Asmara imechagua njia inayochochea mvutano. Barua hiyo imetaka ushirikiano wowote kati ya Eritrea na waasi usitishwe haraka.
--------------------------------------------------------------------