Klabu ya Stade Malien yaweka historia CAF

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-09 15:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika imeendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali usiku wa kuamkia leo. Klabu ya soka ya Stade Malien ya nchini Mali imekuwa klabu ya kwanza katika nchi hiyo kufikia hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa ya CAF baada ya kuifunga Esperance ya Tunisia bao 1-0 mjini Bamako.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]